Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)

Tanoil Investments Limited

Saa zenu za kazi ni zipi?

Vituo vyetu vya mafuta vinafanya kazi saa 24 kwa siku, siku 7 za wiki. Kwa upande wa mauzo ya mafuta kwa jumla, saa zetu za kazi ni kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 10:00 jioni, Jumatatu hadi Ijumaa (isipokuwa siku za sikukuu na mapumziko ya kitaifa).