Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)

Tanoil Investments Limited

Vituo vya Mafuta

Kampuni inaendesha vituo vya rejareja vya mafuta katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania ikiwemo Geita, Singida, Tarime, Segera na Musoma, na inaendelea kuendeleza vituo vingine vipya katika maeneo ya kimkakati ili kuimarisha na kupanua mtandao wake wa vituo.