Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)

Tanoil Investments Limited

Vituo vyenu vya huduma vipo wapi?

Kwa sasa tunavyo vituo viwili vya mafuta vilivyopo Singida Mjini na Geita Mjini. Tunaendelea kuongeza vituo vingine vya mafuta ili tuweze kuwafikia vizuri zaidi.