Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)

Tanoil Investments Limited

Mnayo hifadhi ya mafuta na ipo wapi?

Kwa sasa tunafanya kazi kwa makubaliano ya ukaribisho katika maghala (depot) mbalimbali zilizopo Kigamboni.